Cheichei Day Care Centre ni Kituo kitakachokuwa
kikijihusisha na uangalizi na ufundishaji wa watoto wenye umri
kuanzia mika 3 hadi mitano. Kutokana na
mfumo wa maisha siku hizi kubadilika tofauti na miaka iliyopita, familia nyingi hasa hasa maeneo ya
mijini baba na mama wote utakuta wanafanya kazi hivyo kuwa vigumu kukaa na
watoto wao wadogo wakiwaangalia kuanzia asubuhi mpaka jioni. Cheichei watalenga familia za namna hii............................................
Mchanganuo
huu kamili wenye vipengele vyote kuanzia Muhtasari mpaka makisio ya hesabu zote
3, unaweza ukaupata kwenye kitabu chetu cha MICHANGANUO YA BIASHARA NA
UJASIRIAMALI au pia unaweza kuwasiliana na sisi tukakutumia wenyewe kama ulivyo
kwa Bei ya shilingi, 10,000/=
No comments:
Post a Comment