Jane
Fast food ni mgahawa mpya uliopo eneo la Kijitonyama sayansi na utaendeshwa
kama biashara binafsi ambapo mmiliki wake ni
Bi Jane Mwalugaja. Wamedhamiria kutoa huduma bora ya vyakula na vinywaji
baridi kwa bei nafuu ili kukidhi mahitaji ya wafanyakazi kutoka taasisi mbalimbali zilizoko eneo la
Kijitonyama maeneo ya sayannsi pamoja na watu wengine wanaoishi eneo hilo.Moja
ya malengo yao ni kuhakikisha biashara inasajiliwa rasmi serikalini ifikapo
mwaka wa tatu ………………......................
Mchanganuo huu kamili
unaweza ukaupata kwenye kitabu chetu cha MICHANGANUO YA BIASHARA NA
UJASIRIAMALI au pia unaweza kuwasiliana na sisi tukakutumia wenyewe kama ulivyo
kwa Bei ya shilingi 10,000/=
Simu//Whatsapp: 0765553030 / 0712202244
No comments:
Post a Comment