Ingawa sijakiandika mimi
nimekitafsiri, hiki ni moja kati ya vile vitabu mimi binafsi nilivibatiza 4TIMELESS
CLASSIC BOOKS OF ALL TIMES, kwamba havichuji kamwe, vingine ni MIFEREJI 7 YA
PESA, DUKA LA REJAREJA na MICHANGANUO YA BIASHARA. Ni kama dhahabu au almasi
ambayo kadri muda unavyopita ndivyo nayo inavyozidi kung’ara.
Mwandishi Napoleon Hill
katika kazi yake hii kubwa kabisa kuwahi kuandikwa na mtu yeyote yule karne ya
20, aliwahoji Matajiri na watu maarufu zaidi ya 500 kwa takriban miaka ipatayo
25 ili kupata SIRI iliyowafanya waweze kupata mafanikio na utajiri waliokuwa nao.
Hatimaye aliweza kuipata na kuiweka ndani ya kitabu hiki.
Sipendi niongee mengi
kwani kitabu chenyewe kitazungumza kila kitu.
BEI NA JINSI YA KUKIPATA
1. NAKALA NGUMU (HARDCOPY)
Ukiwa Dar es salaam
tunakuletea mpaka ulipo kwa Tsh. 27,000/=
Mikoa mingine na nchi
jirani tunatuma kwa njia ya Mabasi kwa Tsh. 35,000/=
Mawasiliano, simu/watsap: 0765553030 au 0712202244
2. NAKALA LAINI (SOFTCOPY)
BOFYA Kiungo kifuatacho
kuingia mtandao wa GETVALUE na utaweza kununua pale kwa kutumia mitandao ya
simu kisha uweke katika smartphone yako Application ya GETVALUE kufungua kitabu chako.
Ukitaka maelekezo ya
namna ya kununua kitabu GETVALUE
unaweza kutembelea Utube kutazama video yao hii au pia ukafungua makala hii
ifuatayo katika blog ya jifunzeujasiriamali, jinsi ya kununua kitabu cha think & Grow Rich-swahili katika mtandao wa Getvalue kwa kutumia mitandao ya simu.
No comments:
Post a Comment