Hiki ni moja kati ya vitabu vyangu 3 visivyochuja kamwe, 3TIMELESS CLASSIC BOOKS OF ALL TIMES, sas hivi kimeongezeka kingine kimoja na kuwa 4, vingine ni 1.MICHANGANUO YA BIASHARA NA UJASIRIAMALI, 2. MAFANIKIO YA BIASHARA YA DUKA LA REJAREJA na 4. Tafsiri kwa Kiswahili ya THINK & GROW RICH.
Sifa kubwa ya vitabu
hivi 4, huwa havipitwi na muda, maudhui yake ni ya kudumu kama umuhimu wa
biashara nao ulivyokuwa wa kudumu, leo unafanya biashara lakini mjukuu wako
naye atatafuta maarifa hayahaya kufanya naye biashara.
MIFEREJI 7 Kimewahamasisha
watu wengi waliokisoma na kitaendelea kufanya hivyo miaka na miaka ijayo.
BEI YA KITABU HIKI NI TSH. 3,000/= naka-laini
Lipia kwa namba; 0765553030 au 0712202244
Nikutumie kwenye simu au kompyuta yako sasa hivi
Jina ni: Peter Augustinio Tarimo
No comments:
Post a Comment