MUHTASARI TENDAJI
USADO Milling ni kampuni mpya ya ubia wa watu
wawili itakayojihusisha na usagishaji, ufungashaji na uuzaji wa bidhaa za
nafaka zisizokobolewa hususani Dona. Dhamira yetu kuu ni kupunguza magonjwa ya
tabia kwa watu hasa wale waishio katika miji ya Dar es salaam na Pwani. Malengo
ya USADO ni kuwa na duka kubwa la jumla na rejareja eneo la Mbezi mwisho ndani
ya miezi 6 tu ya mwanzo, kununua mifuko maalumu ya kuhifadhia nafaka zisiliwe
na wadudu maarufu kama mifuko ya PICKS itakayotosha kuhifadhi mahindi ya miezi
6 pamoja na mtambo wa kisasa wa kuchambulia mahindi kabla ya mwaka wa 3.
.................................................................
Mchanganuo huu kamili wenye
vipengele vyote kuanzia Muhtasari mpaka maisio ya hesabu zote 3, unaweza
ukaupata toka kwetu kwa gharama ya shilingui elfu 10,000/=
MAWASILIANO:
Simu/Whatsapp: 0765553030 / 0712202244
No comments:
Post a Comment