Utangulizi:
Msuya Shop ni duka la rejareja litakalofunguliwa ndani ya kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo. Lengo la kufungua duka hili ni kutoa huduma bora ya uuzaji wa bidhaa za rejareja kwa wasafiri pamoja na watu wengine wafanyao shughuli zao katika kituo hiki, vilevile ni kuingizia familia kipato zaidi. ............................................................
Mchanganuo
huu kamili wenye vipengele vyote kuanzia Muhtasari mpaka makisio ya hesabu zote
3, unaweza ukaupata kwenye kitabu chetu cha MICHANGANUO YA BIASHARA NA
UJASIRIAMALI au pia unaweza kuwasiliana na sisi tukakutumia wenyewe kama ulivyo
kwa Bei ya shilingi, 10,000/=
No comments:
Post a Comment