Huu ni mkusanyiko wa masomo mbalimbali
yanayohusiana na jinsi ya kuandika Michanganuo ya biashara ambayo yalitumwa
kwenye group la watsap la MICHANGANUO ONLINE. Kwa msaada wa kitabu cha Michanganuo
na Ujasiriamali, masomo haya yanaweza kumsaidia yeyote yule anayehitaji
kujifunza namna ya kuandaa mpango wowote ule wa biashara bila hata ya kuhitaji
mkufunzi wa kumuelekeza kila kitu.
BEI YA KITABU HIKI NI TSH. 10,000/=
Lipia kwa namba; 0765553030 au 0712202244
Nikutumie kwenye simu au kompyuta yako sasa hivi
Jina ni: Peter Augustinio Tarimo
No comments:
Post a Comment