MUHTASARI TENDAJI
Jukwaa la Wanawake wafanyabiashara za mpakani TWC moja
kati ya malengo yao makubwa ni kununua mashine ya kukoboa mpunga
itakayosaidia kupunguza gharama zilizokuwa zikipunguza faida wanayopata katika
biashara yao pamoja na kuunga mkono sera ya serikali ya awamu ya 5 ya kuifanya
Tanznia kuwa nchi ya viwanda ifikapo 2025. Wanakadiria kuzalisha na kuuza wastani
wa tani 300 za mchele super kwa mwaka.
.........................................................
Mchanganuo
huu kamili wenye vipengele vyote kuanzia Muhtasari mpaka makisio ya hesabu zote
3, unaweza ukaupata toka kwetu kwa gharama ya shilingui elfu 10,000/=
MAWASILIANO:
Simu/Whatsapp: 0765553030 / 0712202244
No comments:
Post a Comment