Boys to Men
ni saluni
itakayojishughulisha na unyoaji
pamoja na mahitaji yote ya nywele kwa
wanaume, watoto kwa wakubwa. Zipo saluni nyingi za namna hii katika maeneo ya kariakoo kama vile
Agrey Men’s Hair Cutting Saluni, Msimbazi Boys Hair Cutting Saloon na
California Barber shop, lakini hawatoi huduma zote muhimu........................................
Mchanganuo
huu kamili wenye vipengele vyote kuanzia Muhtasari mpaka makisio ya hesabu zote
3, unaweza ukaupata kwenye kitabu chetu cha MICHANGANUO YA BIASHARA NA
UJASIRIAMALI au pia unaweza kuwasiliana na sisi tukakutumia wenyewe kama ulivyo
kwa Bei ya shilingi, 10,000/=
No comments:
Post a Comment