MUHTASARI
TENDAJI
Amani Chips centre ni biashara ya mtu mmoja
itakayotoa huduma bora za chipsi kwa madereva na makondakta katika stendi ya
daladala ya Buguruni-Muhimbili. Dhamira yake kubwa ni kutengeneza chipsi tamu
zenye ladha nzuri katika mazingira safi. Malengo ya Amani chips ni kuuza ndoo 1
na nusu ya viazi kwa siku miezi ya mwanzo na kuongeza kiwango hicho taratibu pia
kupata faida ya shilingi elfu 27 kwa siku. .................................................
Mchanganuo huu kamili wenye
vipengele vyote kuanzia Muhtasari mpaka makisio ya hesabu zote 3, unaweza
ukaupata toka kwetu kwa gharama ya shilingui elfu 10,000/=
MAWASILIANO:
Simu/Whatsapp: 0765553030 / 0712202244
No comments:
Post a Comment