Waanzilishi
wa mradi wa Mayai Bora Project(MBP), Bwana Barikiel Sanga na Mkewe Bibi Marieth
wana dhamira ya kuzalisha mayai bora na makubwa kwa ajili ya kuboresha afya za
watu lakini wakati huohuo wakijiingizia faida itakayowasaidia katika maisha yao
baada ya kustaafu utumishi wa Umma. Malengo ya mradi huu ni kuzalisha trei
zipatazo 27 kwa siku .................................................
Mchanganuo
huu kamili wenye vipengele vyote kuanzia Muhtasari mpaka maisio ya hesabu zote
3, unaweza ukaupata toka kwetu kwa gharama ya shilingui elfu 10,000/=
MAWASILIANO:
Simu/Whatsapp: 0765553030 / 0712202244
No comments:
Post a Comment