MUHTASARI
TENDAJI
Nyuki Security Services ni kampuni itakayowahakikisha wateja wake na
mali zao ulinzi wa uhakika. Inatarajjia kuanza rasmi mwaka 2013 chini ya wamiliki wake, bwana Silas John na William Wambura; wote wawili ni wastaafu kutoka Jeshi la ulinzi la Wananchi wa Tanzania TPDF
na Polisi katika vyeo vya Meja Jenerali na Sajenti.
Kwa mchanganuo uliokamilika wenye vipengele vyote
kuanzia Muhtasari hadi makisio yote ya fedha, jipatie kitabu cha MICHANGANUO YA
BIASHARA NA UJASIRIAMALI au wasiliana na sisi tuweze kukutumia ulipo
Simu/Whatsapp: 0765553030 au
0712202244
No comments:
Post a Comment