Dhamira ya Jane Restaurant ni kuwapa wateja wake
mlo mzuri wenye afya katika mazingira mazuri na rafiki kwa bei watakayoimudu.
Malengo yake makubwa katika kipindi cha miaka 3 ni, kuomba mkopo wa muda mfupi
benki shilingi milioni 2 kwa ajili ya kukarabati eneo la biashara, kuwekeza
faida katika biashara kwa madhumuni ya kuipanua zaidi na ..............
Mchanganuo huu kamili wenye
vipengele vyote kuanzia Muhtasari mpaka makisio ya hesabu zote 3, unaweza
ukaupata toka kwetu kwa gharama ya shilingui elfu 10,000/=
MAWASILIANO:
Simu/Whatsapp: 0765553030 / 0712202244
No comments:
Post a Comment